Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #241
Msimu wa 21 to 22 wenzetu waliongoza kwa magoli na kombe hawakubeba kikubwa tumepata point tatuAu ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi!
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah
Mkuu msifie kipa kabla ya kulaumu wachezaji wa YangaAu ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi!
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah
Wacha historia.Msimu mpya huu.Vs Kagera Sugar Kaitaba kapigwa goli 2
Vs Namungo akiwa lindi kapigwa 3
Vs Dodoma jiji akiwa Dodoma kapigwa 4
Vs Mtibwa akiwa Morogoro kapigwa goli 3
Vs Geita Gold akiwa Mwanza kapigwa goli 3
Vs Tanzania prisons akiwa Mbeya kapigwa goli 2
This time tunawafumua sisi.mechi 2 goli 3 nacheka kama sio Timu yanguπ π im very very disappointed
Nimetunza hii risiti ππThis time tunawafumua sisi.
dadeki
Huwa naamini ni moja ya watu wenye kujua mpira ila kwa hiki ulichoandika nimebaki kujiuliza maswali. Haya mkuu baki na mawazo ya mpira uchawi dunia ya leo hii.Mkoani speed ni 1g to 2g why?
Uchawi hautoki Dar?
Msimu mpya yanga imeuanza kwa kucheza mechi zote away na kapata point 6 na magoli 3 haya unataka kusema nini wewe Tui la nazi?Wacha historia.Msimu mpya huu.
Match ngumu kwa Yanga msimu itakua 1 tu, tena kwao.π°πππππ ππππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SCπ°πͺπ½
View attachment 3106339
Mpira umeanza
Dakika ya 2 boka anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 3
Max anafanyiwa madhambi
Dakika ya 6
Ken 0-0 yng
Dakika ya 10
Max anafanyiwa madhambi
Dakika 12
Goal Baccaaaaaaaaaaaβ½οΈ
Dakika ya 16
Job anafanyiwa madhambi
Dakika ya 17
Chama anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 20
Ken 0-1 yng
Dakika ya 28
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 36
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 41
Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 45+2
ππππ ππππ
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106404
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 47
Ken 0-1 yng
Dakika ya 51
Boka anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 59
Max anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 65
Ken 0-1 yng
Dakika ya 67
Mabadiliko anatoka mzize anaingia dube anatoka chama anaingia pacome
Dakika ya 69
Tunapata Kona na tunakosa goli la wazi
Dakika ya 76
Aucho anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 77
Mabadiliko anatoka max anaingia musonda anatoka Aziz k anaingia mudathir
Dakika ya 87
Mabadiliko anatoka Yao anaingia Aziz andambwile
Dakika ya 90+4
π πππ ππππβ±οΈ
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106440
Hongera kwa Kuwafunga Ken Gold FC goli hizo 6 Mkuu. Halafu nikiwa Nakudharau Kutwa hapa JF unaona nakukosea.Kipindi cha pili tunawapiga 6
Msimu mpya yanga imeuanza kwa kucheza mechi zake zote away na kapata point 6 na magoli 3 haya unataka kusema nini wewe Tui la nazi?Wacha historia.Msimu mpya huu.
Huyo kanywa maji ya bendera hata umwambie nini haelewiHongera kwa Kuwafunga Ken Gold FC goli hizo 6 Mkuu. Halafu nikiwa Nakudharau Kutwa hapa JF unaona nakukosea.
Umeelewa nilichoandika au umekurupuka tu kujibu Soma mtiririko wa kilichoandikwa.Kurukia bila kuelewa ndio kunaleta mimba za utotoni.Msimu mpya yanga imeuanza kwa kucheza mechi zote away na kapata point 6 na magoli 3 haya unataka kusema nini wewe Tui la nazi?
Mkiambiwa msiwe mnavuta Bangi / Bange kama hamjala huwa hamtaki.FT
Azam 4 - 1 Sumba sc
Jikite shirikisho mkuu, huku club bingwa haupawezi.
Wewe mbumbumbu kama kudandia umedandia wewe kwasababu ndio uliyeanza kuni quote comment yangu niliyokuwa namjibu Uran ambaye alisema Yanga mikoani haishagi au kwavile ni uchawi hauvuki mkoa. Nikampa matokeo yaliyopita. Wewe ukakatiza mbele na shobo zako unasema kuwa niache historia msimu mpya huu, haya msimu mpya umeanza yanga kapoteza point ngapi ugenini we Tui la nazi?Umeelewa nilichoandika au umekurupuka tu kujibu Soma mtiririko wa kilichoandikwa.Kurukia bila kuelewa ndio kunaleta mimba za utotoni.
Kamu dauni la prinsesa...Au ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi!
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah
Ni mazuzu pekee ndo watasema hii kauli...πππFT
Azam 4 - 1 Sumba sc
Jikite shirikisho mkuu, huku club bingwa haupawezi.