FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024

FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024

Au ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi!
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah
Msimu wa 21 to 22 wenzetu waliongoza kwa magoli na kombe hawakubeba kikubwa tumepata point tatu
 
Au ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi!
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah
Mkuu msifie kipa kabla ya kulaumu wachezaji wa Yanga
 
Vs Kagera Sugar Kaitaba kapigwa goli 2
Vs Namungo akiwa lindi kapigwa 3
Vs Dodoma jiji akiwa Dodoma kapigwa 4
Vs Mtibwa akiwa Morogoro kapigwa goli 3
Vs Geita Gold akiwa Mwanza kapigwa goli 3
Vs Tanzania prisons akiwa Mbeya kapigwa goli 2
Wacha historia.Msimu mpya huu.
 
Mkoani speed ni 1g to 2g why?
Uchawi hautoki Dar?
Huwa naamini ni moja ya watu wenye kujua mpira ila kwa hiki ulichoandika nimebaki kujiuliza maswali. Haya mkuu baki na mawazo ya mpira uchawi dunia ya leo hii.
 
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰

🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120

Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SC🔰💪🏽
View attachment 3106339
Mpira umeanza
Dakika ya 2 boka anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 3
Max anafanyiwa madhambi

Dakika ya 6
Ken 0-0 yng

Dakika ya 10
Max anafanyiwa madhambi

Dakika 12
Goal Baccaaaaaaaaaaa⚽️

Dakika ya 16
Job anafanyiwa madhambi

Dakika ya 17
Chama anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 20
Ken 0-1 yng

Dakika ya 28
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 36
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 41
Mzize anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 45+2
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106404
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 47
Ken 0-1 yng

Dakika ya 51
Boka anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 59
Max anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 65
Ken 0-1 yng

Dakika ya 67
Mabadiliko anatoka mzize anaingia dube anatoka chama anaingia pacome

Dakika ya 69
Tunapata Kona na tunakosa goli la wazi

Dakika ya 76
Aucho anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 77
Mabadiliko anatoka max anaingia musonda anatoka Aziz k anaingia mudathir

Dakika ya 87
Mabadiliko anatoka Yao anaingia Aziz andambwile

Dakika ya 90+4
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106440
Match ngumu kwa Yanga msimu itakua 1 tu, tena kwao.
Niulize.
 
Boka kapata tuzo ya mchezaji Bora wa mechi ya Leo
20240925_184806.jpg
20240925_184809.jpg
 
Na hapo bado yule Mganga wenu amewaonya kama msipommalizia Fedha zake ya Msimu uliopita msije Kumlaumu.
 
Msimu mpya yanga imeuanza kwa kucheza mechi zote away na kapata point 6 na magoli 3 haya unataka kusema nini wewe Tui la nazi?
Umeelewa nilichoandika au umekurupuka tu kujibu Soma mtiririko wa kilichoandikwa.Kurukia bila kuelewa ndio kunaleta mimba za utotoni.
 
FT
Azam 4 - 1 Sumba sc

Jikite shirikisho mkuu, huku club bingwa haupawezi.
 
Umeelewa nilichoandika au umekurupuka tu kujibu Soma mtiririko wa kilichoandikwa.Kurukia bila kuelewa ndio kunaleta mimba za utotoni.
Wewe mbumbumbu kama kudandia umedandia wewe kwasababu ndio uliyeanza kuni quote comment yangu niliyokuwa namjibu Uran ambaye alisema Yanga mikoani haishagi au kwavile ni uchawi hauvuki mkoa. Nikampa matokeo yaliyopita. Wewe ukakatiza mbele na shobo zako unasema kuwa niache historia msimu mpya huu, haya msimu mpya umeanza yanga kapoteza point ngapi ugenini we Tui la nazi?
 
Au ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi!
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah
Kamu dauni la prinsesa...
 
Wakikudata uthibitishe tuhuma zako unabaki unalia unaomba uonewe huruma.
 
Back
Top Bottom