Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote wanao tusumbua kipindi cha kwanza huwa tunawapiga 5 au 6 hadi mwisho wa mchezo kaa kwa kutulia utaonaMagoma fc na hiyo timu nayo atatoa jasho kama kapikwa kwny uji...😃
Ila Kocha anampendaa🤣 kumpa nafasi beleke AahMzize anazinguaaaa
Kila mtu na mtue....ndio hivyo. Baleke yuko wapi na mwenzie mudathirIla Kocha anampendaa🤣 kumpa nafasi beleke Aah
dk 90 utafurahiSioni magoli apa
point 3 zipo
Ila magoli sioni niaminini mimi
Hivi Mbeya ni Jiji?Mbeya ndio jiji chafu kuliko yote 😂😂
city hamna kitu pabovu sanaa...kamji kaduchuu...kamepaukaa...vijumba vya matope mji mzima...mji biashara wanaanza kufunga saa 10....saa moja daladala hamna na watu hamna...jiji unazunguka masaa mawil limeisha
Si wanaita city hapa napigwa na jua aisee jua kalii jana saa 9 usiku nilikosea gari nikatembea mji mzima hamna kituHivi Mbeya ni Jiji?
Sureboy alikua mtu wa NABI 🤣🤣Kila mtu na mtue....ndio hivyo. Baleke yuko wapi na mwenzie mudathir
Ngoja tuone kipindi cha pili. Lakini goli limefungwa na beki kwa set piece.
Naunga mkono Chama atoke, ila kwa Mzize napingaToa mzize weka dube, Toa chama weka pacome
Kipindi cha pili tunawapiga 6Tuliwaonya sana hapa kuwa Kikosi chenu kinaanza Kuchoka huku Complacency ikiwagharimu Wachezaji wenu mkabisha.