Watajisahaulisha hapa makoloYanga ikifungwa litakuwa bao moja tu, ila mamemoldi wakifungwa yataweza kufika hata manne. Hii inatokana na style za uchezaji wao. Mamelodi wakifunga watakwenda kujilinda zaidi na kupunguza mashambulizi; kwa upandce wmingine Mamemlodi ikifungwa basi watafunduka ili kushambulia lango la Yanga na hivyo kuwapa Yanga mwanya wa kushambulia kwa kushtukia zaidi kwani Yanga wako vizuri sana kwa upande wa mashambulizi ya kushtukiza na ndiyo huwsapa mabao mengi sana. waulize Simba wanajua muziki wa Yanga kwenye mabao ya kushitukiza
ππππππ€£π€£π€£π€£ thubutuuu!! Subiri uone mechi ikiisha km bus halijarudi na watu pungufu
Kwenye suala la mbinu sina shaka na Gamondi, kama uliona game ya kwanza unaona MG alivyomrudisha darasani RM kimbinuMiemko Hapana.
Inabidi waende na beat ya kucheza kwa mahesabu kujilinda kidogo then unashambulia kidogo.
La sivyo tujiandae kwa mafuriko.
Sawa mtani wanguHii picha imepigwa baadaeView attachment 2954054
Al Ahly watuondolee dhahma ile ya Mwakarobo kule CairoKila la heri timu yangu ya ukubwani Masandawana!!
Nipigieni hao βAmphibiaβ goli chache kama 3 hivi ili wawe timu ya kwanza kutoka kwenye mashindano!!
Masandakolozdad katika uboraAloo kumbe Nyuma Mwiko nao leo wana mechi?
View attachment 2954045
Nitakuwa kuwa wa kwanza kumla ma msapo wako kikubwa awe pis kali tu.yanga aki qualify natoa number ya mke wangu na mchepuko yangu miwili. no jokes . am so confident of the end road. nitapost dm nikigawa number hizo. if it happens. mpira auna siasa. wa bongo acheni siasa. [emoji706]
Tunaenda Kushinda Hii Mechi HunterKILA LA HERI WANANCHI YANGA SC
Tukapigane hadi tone la mwisho
#KwaoKamaKwetu
Young Africans Inawaumbua Wanaoi-underrateNitawaumbua
Young Africansπ₯π₯π₯#DaimaMbelenyumamwiko#
This Is Dar Young AfricansBro umetoa wapi nguvu ya kuanzisha uzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π π π π
Kila la kheri wananchi ππππ
We Badala Ujiandae Na Mechi Huko Cairo We Upo Busy Na Mayele ππwauwawe!!!
Umenifananisha ndugu yanguWe Badala Ujiandae Na Mechi Huko Cairo We Upo Busy Na Mayele ππ
[emoji16][emoji23][emoji16]Umenifananisha ndugu yangu