United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Nenda kafuge nyau uko kabla hujaanza kutazama watazamaji walikuwepo wakutosha kwahyo hupunguzi chochoteHili zimwi la kubebwa litawatafuna CAF na kiongozi wao.
Aisee hii mechi yanga alitakiwa kupita.
KUANZIA LEO SITIZAMI CAFCL WALA CAFCC TENA.
Nitaishabikia Yanga NBC pl
Ndivyo zilivyo VAR za Ugenini.Ni wazi mamelodi kabebwa
Labda kama mpira umeanza angalia leoIandikwe Barua Kwenda CAF Usiku Huu
Dah!!Mungu ampe maisha marefu sana refa pamoja na uzao wake wote
Twende uzi wa Simba sasaNaku~Zoom
Wamewamaliza nguvu wachezaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hao wanatuchekaga kufa kiume, ko wao leo wamekufa tu.wamekufa kiume mbwa Hawa
tungeweka wapi sura zetu utopwinyo wangepita jaman
Kwa Simba gani kitawaramba tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hizi ndizo habari napenda kuzisikia
Yaani Uto watangulie nusu fainali ya klabu bingwa Afrika kabla ya wa kimataifa Mnyama!!
Haiwekani lazima Mnyama aweke rekodi kwanza ndiyo vyura wa jangwani wafuate
Hutakiwi kukasirika. Kwa uwekezaji wa Mamelodi sio sawa na timu yetu. Hao wanaocheka ni wehu na uwazoee na mara nyingi huwa wanajifurahisha ila moyoni wanakiri kwamba Yanga wanaweza. Tushukuru kwa hapa, tujipange kwa mwaka ujao mkuu. Kwa namna yoyote, lazima mmoja angeshinda.Wee acha madogo wananicheka hapa live, yani wanacheka balaa. Wanasema sister pole 🤣😂😂😂😂
Nimekasirika kweli
Haswaaaa.Huyo Williams sikio zake Zina antena
Zinanasa mipira inakokwenda.
Ndiye golikipa Bora wa Afcon huyo.
Mbona kabla Penati haijapigwa Refa anampa semina kipa wa Sndwn, na sio kwa Screenprotector. Au kale kamaiki huwa anapokea maelek3zo kwa wasiojulikana?Mungu ampe maisha marefu sana refa pamoja na uzao wake wote
Presha ilikuwa inapanda mpaka nikalamba glucose......Kabisa
Unaangalia game?Kwa Simba gani kitawaramba tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Bado hamjasema. Kwao kama kwetu. Daima mbele nyuma mwiko.
kafuge nyauuu uko mamelody kakukanda ata hujui ufanye ninAt the end of the day, matokeo lazima ni kupata na kukosa, mmepambana sana wenetu..!!
tuhamie kwa ndugu zetu wenye vidomo domo sasa, mamaeee..!!
Kuna comment yako juu huko ulisema mapema..Wee ushaona wapi
Yaan wenzako wacheze pira wee, Et wee ushinde Kwa Penati[emoji2956]