FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Hivi simba walipenya vipi mpk kuingia robo fainali?? Kwa mpira gani haswaah!!! Huu ninaoungalia au kuna mwingine??

Eti wewe cocastic kolo 🤣🤣🤣🤣
 
Hivi simba walipenya vipi mpk kuingia robo fainali?? Kwa mpira gani haswaah!!! Huu ninaoungalia au kuna mwingine??

Eti wewe cocastic kolo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikuulize wee uliyeanza kutolewa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uliingiaje huku?
 
Unajua kama refa kaonesha madhaifu mengi juu ya hiyo VAR??
Unafananisha VAR tech ya Europe na huku??
Huwezi kuwa serious ngojea nikuache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…