cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee.Uduguu ila leo nitalala nimechoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee.Uduguu ila leo nitalala nimechoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣 Simba mlipenya vipi?? Mbona km mnacheza chandimu!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee.
Wee jamaaa daaah[emoji81][emoji81] ata mimi nisinge wapa mkalishe makalio golini afu gafra tu mtake goal
🤣🤣🤣🤣Daa watu tumeuzunika sana😞!.
Nikuulize wee uliyeanza kutolewa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi simba walipenya vipi mpk kuingia robo fainali?? Kwa mpira gani haswaah!!! Huu ninaoungalia au kuna mwingine??
Eti wewe cocastic kolo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi unayoo leo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Simba mlipenya vipi?? Mbona km mnacheza chandimu!!!
🤣🤣🤣🤣 sisi hatujafungwa kwa magoli ya kawaida lakini uduguuNikuulize wee uliyeanza kutolewa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uliingiaje huku?
🤣🤣🤣🤣 au wanajua kombe la mbuzi??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi unayoo leo.
Umefungwa kwa magoli gani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sisi hatujafungwa kwa magoli ya kawaida lakini uduguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au wanajua kombe la mbuzi??
Unajua kama refa kaonesha madhaifu mengi juu ya hiyo VAR??Hoja ya pili.uingereza marefa wanavaa saa ambayo kama goli litakuwa limeingia .ile saa inatoa mlio.je refa alikuwa nayo?je goal line technology ilikuwepo leo?.mlaumu azizi ki kugongesha mwamba.alishindwa vipi kupunguza kipimo?🤣🤣🤣🤣
Wewe ni Shabiki Maandazi!! Penda timu na mchezo na sio kupenda timu pekee!Wewe huko buza huko ndo umeona goal.ila walioko uwanjani hawajaona goal ?
Nilikuambia unapoenda crying room usifunge mlango sijui ulielewa maana yake?Shukrani mkuu, mamelodi wameshimdwa kuscore mechi mbili dhidi ya Yanga.
Ni bahati tu haikuwa upande wetu.