FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Kipindi hicho Yanga alikuwa wapi?
Unapokuja kuzungumzia shirikisho yenu ya medali, Simba hakucheza shirikisho.😁😁😁
Ni sawa na wanafunzi wawili, mwaka 2022 walifanya mtihani wa darasa la 4 kuingia darasa la 5. Mmoja akafaulu na mwingine akafeli. 2023, Mmoja aliyeingia darasa 5 (Simba) akafanya mtihani akawa wa 4 na aliyebaki darasa la 4 (Yanga) akafanya mtihani akawa wa 2, sasa wa darasa la 4 aliyefeli kuingia darasa la 5, anamtambia wa darasa la 5 kuwa yeye amekuwa pili na kipindi hicho alisoma darasa la 4 hakuwahi kuwa wa 2 darasa la 4).
Ndicho unachozungumzia
 
Swali hujawahi shiriki?. Umefka hatua gani?.
Kipindi hicho Yanga alikuwa ametolewa shirikisho?
1. Kipindi Simba anacheza shirikisho mpaka robo fainali Yanga alikuwa ametolewa kitambo sana
2. Kipindi Simba anacheza Champion League mpk robo fainal, Yanga anacheza shirikisho.
Sijui unazungumzia shirikisho au champion?
 

#Vipofu angalieni goal halali hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…