Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Wananchiiiiiii......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga hii hoja mkono.Habib Habib thalanta bin thiful leo
MAMELOD kandamiza misumar ya Moto
UBUNTU BOTHO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ijumaa ya leo inatisha sana.Nikaanze kupika mapemaaaa kabisa, ili mida niwe tayari kuangalia game kubwa.....make ijumaa ya leo sio ijumaa kuu
TBC1
220Naomba Niulize Wadau,Kwenye Dstv ni chanel gani,Namba ngapi?Itaonyesha CAF champions League??? Mamelody Vs Young Africans?
Forever forward never backwardsAlways forward back never ever!
Mmebakisha kihindi tu sasaForever forward never backwards
Ni kweli Mkuu. Watu wanawehuka sana.Tuwe na kiasi katika kunena kwetu.
Hata vitabu vya Mungu vinatuasa.
Mechi ya maana inaisha saa 5 tu, tuna mambo mengi ya kufanya hatuwezi kukesha kwenye mamipira.Ijumaa ya leo inatisha sana.
Mpaka inafika Saa Saba za usiku,
Habari itakuwa imeisha kabisa
295Naomba Niulize Wadau,Kwenye Dstv ni chanel gani,Namba ngapi?Itaonyesha CAF champions League??? Mamelody Vs Young Africans?
Ndio mara yetu ya kwanza,tunakimbizaMnakimbiaga nyie...
Mzee nenda kasukume uzi wenu, mna mechi yenu jamani au mmesusia.!😀😀Mmebakisha kihindi tu sasa