Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mtahamisha magoli mpaka mfe wima kuku nyie..!!Hapana... Utopolo Inawezekana kuchukua Confederation Cup, lakini haiwezi kuwa bingwa wa Africa.
Leo umechafukwa 😂 😂 😂 😂 😂Utakufa ww umebinuka basi..unatuambiaje tutakufa kisa mpira tuu??
Huyo Mayele mnamtaja taja nyie umeniona saa ngapi namtaja mimi?.
Hebu furahia ushindi wako usituvuruge..
Unataka tuu tuchafukwe...ila hakuna jipyaMtahamisha magoli mpaka mfe wima kuku nyie..!!
Leo umechafukwa 😂 😂 😂 😂 😂
Kama utakufa kufa pekee yako utuachie yanga yetu tuliobaki tuburudike🏃🏃Naipenda Yanga nitakufa nayo...
Niacheni nienjoy watu uwanjani huko wameshaumizwa....
Yanga tamuuuuuuuuuuuuu
Babe wangu aniumize kichwa na litimu la makolo liniumize kichwa, aaah wapi.
Yangaaaaaaaaaaaaa I loveeeeeeee
You Forever 💚💛
Haina shida kabisa tutaenda woteAnayekataa ubora wa yanga huyo hajui ball....sie wengine wapenzi wa mpira hatuna timu. Tuneenjoy ball tuu.
Sasa bby mtoko huo wa tarehe 28 taifa twende wote.
tutamkalibisha Kalpana aone final ya caf inakuwaje
Game imeishaje?Umeona matokeo lakini😂
Sa itakuaje😂😂😂
Yanga inawapa watu furaha .ukiwa Yanga furaha ni guaranteeNaipenda Yanga nitakufa nayo...
Niacheni nienjoy watu uwanjani huko wameshaumizwa....
Yanga tamuuuuuuuuuuuuu
Babe wangu aniumize kichwa na litimu la makolo liniumize kichwa, aaah wapi.
Yangaaaaaaaaaaaaa I loveeeeeeee
You Forever 💚💛
Ebu ninong'oneze taratiiibu kuwa ani anakuzingua Mtani?Unataka tuu tuchafukwe...ila hakuna jipya
Nyuma mwikooo[emoji16][emoji16]Sisi ndo wananchi
Gari ishawaka
Daima mbele[emoji172][emoji169][emoji91]
Yanga inachapa kaziKila siku nashauri tff imchukue prof. Nabi awe kocha wa taifa stars
Picha tafadhali Mama ya huyo Utopolo atayekufa huku amebinuka [emoji2960]Utakufa ww umebinuka basi..unatuambiaje tutakufa kisa mpira tuu??
Huyo Mayele mnamtaja taja nyie umeniona saa ngapi namtaja mimi?.
Hebu furahia ushindi wako usituvuruge..
Mayele anajua sana huyu jamaa.
Mko na uhakika hii Ni Yanga kweli??Nyuma mwikooo[emoji16][emoji16]