Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba yetu bado 'dhaifu' sana mkuu. Nina mashaka kocha atachoka mapema sana.94' FT
Wazanzibar , hili Kombe Lao Watadoda nalo...
Kampeni zao zipo wazi kbs...
ACHANA NA DAKIK LKN SIMBA HATUNA TIMU APOHuku umeisha dakika ya 94
Dakika za nyongeza hazijaisha zote na bado kulikuwa na upotevu mkubwa wa muda
Daah!!View attachment 2870917
Sisi kama Simba kombe letu ndio hili msimu huu.
Dah!...bado una imani na hii timu ?.... anyway Simba inahitaji maboresho.Hamna, Simba hii hii utashangaa inamkalisha mwarabu 2.
Hujuma hiiSi na jezi wakaprint bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2870913
Nakubaliana na wewe kuhusu timu kubebwa, ila leo Simba kafungwa kihalali.94' FT
Wazanzibar , hili Kombe Lao Watadoda nalo...
Kampeni zao zipo wazi kbs...
Karibu kundemba ujionee, mtaa uliojaa matejaKwanini?
Hatuna timu kama dak 90 tunashindw kufunga goli ivo visekunde vingetupa timu bora94' FT
Wazanzibar , hili Kombe Lao Watadoda nalo...
Kampeni zao zipo wazi kbs...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaa had baas. Hili kombe kuanzia mwaka jana ni limepangwa kubaki hapo.Duuh huu uchawi wa Mlandege utakuwa wa Chumbe, hivi timu za Zanzibar hazichezi kimataifa, ili tujue hawa Mlandege huwa wanakuwa hivi hivi na kimataifa au ndio uchawi hauvuki bahari
Ni aibu kufungwa na timu zinazojiunga unga.Wanasakata kabumbu hadi Simba kakaa 😂