FT| NBC | Namungo 1-1 Simba Sc | Majaliwa Stadium | Mei 3, 2023

Ujinga uliopo simba huwezi ona yanga ndio maana watakuwa mabingwa daima kocha amepewa uhuru sana haiwezekani wachezaji wengine hawataki tu na kuleta timu hovyo kbs bora wampe timu kibadeni tu
 
Pale mnapoendeleza kufa kiume, hadi kwa Namungo.
Ntwara kuchereeee
Asante Namungo, nyie siyo wa kuwapa watu points za bure. Nanyi mmepigana kiume πŸ™ŠπŸ™ŠπŸ™ŠπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ
 
Pale wanapocheka kutoka sare na Namungo inayoshirikigi mara nyingi kombe sawa na lao la loser...wanasahau kuwa walichapwa 2 na Ihefu πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ πŸƒβ€β™€οΈ
 
Siku hizi ni kufa kiume, sijui mwanzo walikuwa wakifa kike 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Mwaka wao huu mikia πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
Tulia binti chura...sisi na Ihefu ndo wababe wenu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Upo lakini unitag kwenye story kule tusuuze mioyo...
 
Tulia binti chura...sisi na Ihefu ndo wababe wenu πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Upo lakini unitag kwenye story kule tusuuze mioyo...
Natuliaje na watu mnakufa kiume. Sijui nanyinyi warembo mnakufa kiume? 🀣🀣🀣🀣🀣

Luv hata nafatilia hadithi yoyote basi kwasasa? Hakuna, Steve naye sijui kaendelea ama lah. Ila nikikutana na story yoyote nitakutag mtani wangu mzuri.
 
Nasikia nguvu wameziamishia kwenye MAJEDWALI.......πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Wewe mtagi hata story ya MAJEDWALI asee πŸ€”πŸ˜…πŸƒπŸƒ
 
Ndio maanake hata akina Club Africaine, Real Bamako, Monistir na Rivers United nao waliwapa bahasha na hata Marumo Gallants nao tayari wameshapokea bahasha.

Dah.. Kwa kweli hivi vitimu vidogovidogo visivyokuwa na majina ukiacha Rivers Utd wengi tumevijua mwaka huu. Vina hadhi ya kucheza Ile Ligi tunayowakilishwa na Utopolo, Namungo, Geita, Azam
 
Baada ya Simba KUFA KIUME huko MOROCCO na mwili wake kusafirishwa Hadi nchini Tanzania, na kamati ya mazishi kukubaliana akazikwe mkoani Lindi kwa ndugu zake. Hatimaye hapo Jana, mazishi yalifanyika na KUZIKWA KIUME.

Kwake yeye kila goti litapigwa

Naomba kuwasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…