Kaa hapa hapa Hadi mwisho ni kama Tu unatazamaNafurahinsana kuskia hbtr hzo niko kwa safari nafatilia Uzi vzr sna yanga daima
Ndo Nani huyo?Mnaoangalia mpira yule mwarabu wa mombasa wa kmc anacheza?
Umelazimiswa kuangalia?A very boring game.
Walimsajili toka kenyaNdo Nani huyo?
Kwa kipiYanga hii inatisha
Kwenye umaliziaji kuna mapungufu mengi. Musonda amekosa utulivu. Mipira ya mwisho inapitishwa, lakini hakuna wa kumalizia! Naamini kocha atafanyia kazi haya mapungufu.Yanga hii inatisha
Haturuhusiwi kutoa maoni kwani...?Umelazimiswa kuangalia?
Hakuna mtu haangalii hii burudan,yanga ikicheza nchi nzima hufatiliaHadi sasa Mashabiki wa Simba ndiyo wanachangamsha huu Uzi...
Elezea kuchangamsha kwao.Hadi sasa Mashabiki wa Simba ndiyo wanachangamsha huu Uzi...
Umeulizwa swali fupi tu! Badala ya kujibu ndiyo au hapana! Wewe umeamua kuimba taarab kama Isha MashauziHaturuhusiwi kutoa maoni kwani...?
Mbona watoto wa kiume wengi mna behave kama mshavuliwa ubingwa. Hivo visirani waachie watoto wa kike wanaovuja kila mwezi, wewe wa kiume kabisa alafu unaleta attitudes za kike, utavuliwa ubingwa, shauri yako.
Waamuzi wetu huwa wanaangalia pembeniHuyu mchezaji wa KMC mbona kafanya faulo ya kipumbavu hivi?
Kabisaaa mkuuKwenye umaliziaji kuna mapungufu mengi. Musonda amekosa utulivu. Mipira ya mwisho inapitishwa, lakini hakuna hakuna wa kumalizia! Naamini kocha atafanyia kazi haya mapungufu.
Yanga wamebakiza magoli matatu hapobwafunge mahesabu ya leo.Naitakia droo