FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

Yanga wanapata free kick eneo zuri Sana... Ngoja tusubiri
 
Aisee Mudathir anakosa Goli hapa baada ya Kmc kuchoma
 
Hadi sasa Mashabiki wa Simba ndiyo wanachangamsha huu Uzi...
Wanachangamshaje? Unadhani ni kama wa nyie utopolo mnavyojazana kwenye thread ya Simba inapocheza na kazi yenu ni kuitoa makosa kibao huku mkijifanya ni mashabiki wa Simba. Tumesha wajueni.
 
Azizzzzzzzz ki IIIIIIIIIIIIIIIIIIIII ni MESSI MTUPU [emoji2957][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…