PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Tupe hongera basi angalau kiduchu, nitakupa pipiπMmepiga bomu mochwari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe hongera basi angalau kiduchu, nitakupa pipiπMmepiga bomu mochwari
Uko vizuri Mkuu.Anakandwa mtu bila huruma
Yanga KMC
5 0
Daah we jamaa!!Prediction
Young Africans 5 - 0 KMC
Al Ahly na Wydad wenyewe msimu huu watashangilia YangaWekeni maneno ya akiba. Yatayatokea yale ya ngao ya jamii Tanga.
Bado CAF champion League. Mkimalizana na Asas mjiandae kukutana na Wydad, Al ahly au Al hilali maana mabingwa watetezi lazima wakutane.
Mlichukua kombe na hizo timu zilichukua kombe kwahiyo siyo KMC tena wala ihefu.
Msimu huu shirikisho alipo. Ukipigwa champion league nyumbani
Wakati Yanga inasuka timu Avic town, nyinyi mliona ni ujanja kwenda kuzura Uturuki kuwaangalia waigizaji wa Ottomans, sasa kila mtu atavuna alichooanda, gari ndio limeshawaka hivyo.Nguvu ya miamala
Walienda retreatπWakati Yanga inasuka timu Avic town, nyinyi mliona ni ujanja kwenda kuzura Uturuki kuwaangalia waigizaji wa Ottomans, sasa kila mtu atavuna alichooanda, gari ndio limeshawaka hivyo.
Tumecheza na tumeshinda tano kwa niunge, nakutaarifu kama ulikuwa huna taarifa.Hii mechi mbon hatuijui? Kumbe Yanga wanacheza
Naona mmepiga bomu Afghanistan..Tumecheza na tumeshinda tano kwa niunge, nakutaarifu kama ulikuwa huna taarifa.
Niliwapa mapemaaa nilisema lets meet at the top...Tupe hongera basi angalau kiduchu, nitakupa pipiπ
Kipindi hicho Simba anaota moto nyie mlikuwa mnacheza shirikisho au Champion league?Kawaida hata shirikisho mlituambia hivyo hivyo, baada ya nyinyi kutolewa South pamoja na kuota moto katikati ya uwanja, ila wanaume tukafika mpaka fainali.
Opportunity never comes twice, ukipata bahati itumie, mlishindwa kuitumia bahati na Mtibwa dakika mbili mkaruhusu goli mbili.Naona mmepiga bomu Afghanistan..
Kipindi hicho Simba anaota moto nyie mlikuwa mnacheza shirikisho au Champion league?
[emoji16][emoji16][emoji16]
Mepangiwa kucheza CAF champion league pamoja na Simba. Yanga alicheza mechi mbili tu ya Zalan na Al hilal. Akatolewa. Simba amecheza mpaka robo fainali CAF Champion league.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wacha nichekee. Wanajiita wanaume. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwa akili ya utopolo wanafikiri Confederation ni kubwa kuliko Champion League.
wanaume wameshindwa kucheza Caf champion league wanacheza kombe la washindwa.
Kwahiyo na nyinyi wanaume mtacheza African Super Cup?
ha ha ha ha ha ha ha
Aliyeita utopolo hakukosea
Wanaume wote wamecheza CAF Champion League na wanaume washoka wanacheza African Super Cup
Umetisha.Prediction
Young Africans 5 - 0 KMC
Sasa kipindi Yanga anacheza fainali ,Simba alikuwa anacheza na nani?Kipindi hicho Simba anaota moto nyie mlikuwa mnacheza shirikisho au Champion league?
πππ
Mepangiwa kucheza CAF champion league pamoja na Simba. Yanga alicheza mechi mbili tu ya Zalan na Al hilal. Akatolewa. Simba amecheza mpaka robo fainali CAF Champion league.
ππππ
Wacha nichekee. Wanajiita wanaume. ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
kwa akili ya utopolo wanafikiri Confederation ni kubwa kuliko Champion League.
wanaume wameshindwa kucheza Caf champion league wanacheza kombe la washindwa.
Kwahiyo na nyinyi wanaume mtacheza African Super Cup?
ha ha ha ha ha ha ha
Aliyeita utopolo hakukosea
Wanaume wote wamecheza CAF Champion League na wanaume washoka wanacheza African Super Cup