FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

Hawa singida wangekuwa wanacheza na utopolo, wale gongowazi,chura wa jangwani, wasingekuwa wanaonekana hivi, wasingeshine kabisa.
 
Tatizo la kibu ubinafsi umemzidi.Vyenga vingi mpaka anaharibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…