azam moto wake unaonekana akikutana na mnyonge wake sio yangaWapo moto kuliko Azam
Kocha aachane na hao magarasa hayana consistency game moja atacheza vizuri nyingine anaharibuTunacheza mpira usioeleweka, Kibu anarukaruka tu uwanjani.
Yupo,anapiga chenga za mauziChe Moron semuoni
Andaa njaaa kabisa supu unapataNgoda tuone kuna mwamba kasema Simba akifungwa leo ananipa hela ya supu
Hakuna cha maana mlichocheza jana, mlikutana pwagu na pwaguziazam moto wake unaonekana akikutana na mnyonge wake sio yanga
Mpira una maajabu yake.Ulimwengu wa roho ndo umenijulisha
Tatizo la kibu ubinafsi umemzidi.Vyenga vingi mpaka anaharibu.Nadhani Kibu D kama anacheza, kocha aangalie uwezekano wa kumpanga katika viungo watatu wa kati kwa mfumo wa 4-3-3 ,Sababu kibu sio mfungaji mzuri ,sio mpiga pasi za mwisho mzuri ila ni mchezaji anayeweza anzisha shambulizi na kupandisha timu kwa uharaka pindi wanapokaba mpira kutoka timu pinzani .
Ngoja tuone basiAndaa njaaa kabisa supu unapata