FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

Simba inacheza utafikiria ninile ya mwaka 1936 wakati inaanzishwa, tofauti ni ndogo hivi. Kumbe zile kelele za Mwamed zinatokanaga na depression za Simba hii
We unadhani mchezo nini? Utoe kitita kusajili wachezaji halafu uone huu utumbo uwanjani utaacha kuwa na stress? Maana yake ni kwamba msimu ujao pia atoboke pesa nyingi kusajili kundi jingine kubwa la wachezaji ambao matokeo yake ni unforseen.


Ununue simu ya 3.6M kisha umefika nyumbani kuiweka charge kabla ya kuitumia halafu iungue, utaacha kuwa na stress hata kama hela ipo?

Mwamedi lazima achanganyikiwe tu[emoji23].
 
Mpira wa jana ulikuwa si butua butua ulikuaa ni mchezo wa kuwaonesha kuwa watu wamejipanga kimkakati zaid
 
Leo Simba tukitoboa wakatambike. Timu haieleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…