MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Simba anachukua ngao sitaniiWaliofurahi jana, leo wanaenda kukata tamaa
Wanaokata Tamas wanajulikana mbonaWaliofurahi jana, leo wanaenda kukata tamaa
Pamoja sana mkuu #SimbaChamaKubwaSimba Nguvu Moja
#GuvuMoyaWaliofurahi jana, leo wanaenda kukata tamaa
Guvu moya ya nyoko?Simba Nguvu Moja
Tamaa ya nyokoWaliofurahi jana, leo wanaenda kukata tamaa
Ona huyu matako ananikenulia niniGuvu moya ya nyoko?
Baada ya vioja vya jana hatimaye leo tunapata nafasi ya kuangalia soccer. Kila lakheri Mnyama wa mwituni.
===
Greatest of all time
Leo ni Sikukuu ya Soka.
Mnyama Mkubwa Mwituni. Simba SC itakuwa ikishuka dimbani kuwakabili Singida FG FC katika dimba la Mkwakwani pale jijini Tanga.
Simba ambayo imesheheni wachezaji mafundi kama vile Onana, Baleke, Kramo, Mwalimu Fabrice Ngoma na wengineo wanatarajiwa kutoa burudani kubwa sana kwa wapenda kandanda nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla mara baada ya butua butua na piga nikupige ya jana.
Singida ambayo imefuzu kucheza kimataifa nayo imesajili wachezaji kadhaa akiwemo Kiyombo, Babu Onyango, Yahaya Mbegu na wengineo wanatarajiwa kuleta ushindani.
Ewe mwana Simba uliyepo Kasulu, Jinja, Makambako, Kisumu, Uyui, Ndola, na mahala popote tegemea mpira mkubwa leo na mechi yenye mvuto.
Mechi itapigwa Saa 1:00 Usiku na itakuwa mubashara kupitia Azam Sports 1HD
Si vibaya kuota, endelea kuota kijana ila ujue usiyempenda kaja.Nitafurahi Simba akishinda ili kidooogo alete ushindan kwenye Fainal ila nitafurah zaidi Singida akishinda alafu Makolo wakapigwe na azam ili Waanze kutukanana na kukosa furaha Mapema in shot napenda tu kuona Mtani anateseka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utoto upi huo!?Kila heri SFG Timu yangu ya utotoni
Si vibaya kuota, endelea kuota kijana ila ujue usiyempenda kaja.