FT: Ngao ya Jamii: Simba SC 0-0 Singida FG Penati (4-2)| Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 10, 2023

Baada ya vioja vya jana hatimaye leo tunapata nafasi ya kuangalia soccer. Kila lakheri Mnyama wa mwituni.
 
Nitafurahi Simba akishinda ili kidooogo alete ushindan kwenye Fainal ila nitafurah zaidi Singida akishinda alafu Makolo wakapigwe na azam ili Waanze kutukanana na kukosa furaha Mapema in shot napenda tu kuona Mtani anateseka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si vibaya kuota, endelea kuota kijana ila ujue usiyempenda kaja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…