Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 🤣🤣🤣😂 mkuu unasema?Kwanza ngao sio kombe kihivyo basi tu
Sema tu Popoma kala ban. Angeshusha nyuzi kama mvua 😁Vijana wa Rage wakifungwa hili jukwaa moderator walipe ulinzi mkali maana matusi na nyuzi za malalamiko zitajaa..
[emoji23][emoji1787] kumbe NI pia MajutoEti Pira Ottoman. [emoji23][emoji23]
Jamaa angeshusha nyuzi za malalamiko kama kichaa .Sema tu Popoma kala ban. Angeshusha nyuzi kama mvua 😁
Hahahaaa. LolLeo ulipika cha hadi usiku
Ngoja arudi🤣🤣🤣🤣Jamaa angeshusha nyuzi za malalamiko kama kichaa .
Hatari sana Mkuu. 😅😅[emoji23][emoji1787] kumbe NI pia Majuto
Atakudhihirishia kuwa ulikuwa una fikra za uongoKwahoyo Ally salim ndio anaenda kudaka penati? Labda wachezaji wa Singida wapige nje ama kugonga miamba