Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzoni mmlimwagia sana sifa hasa alipomfunga Nabi ila sasa mnamkataa....Sasa kuwa na Kocha wa nje mwenye uwezo mdogo kama huu, huoni kwamba ni bora kuwa na Mzawa tu?
[emoji1][emoji1]Kwanza ngao sio kombe kihivyo basi tu
Amewapambania mno ila hajafanikiwa kawachapa kadi za njano singida kwa bidii ila haijasaidiaRefa katutoa mxhezoni
NAKAZIAKwanza ngao sio kombe kihivyo basi tu
MINOCYCLINE atakinukisha kama kawaida maana alikuwa bize kulima mahindi sasa amemaliza.Ngoja arudiπ€£π€£π€£π€£
Zingekuwa nyuzi kama 40Sema tu Popoma kala ban. Angeshusha nyuzi kama mvua π
Mpira mzuri sana basi tu
Kivumbi leo[emoji1]Matokeo vipi
Kocha mkuu sio refa. Bocco kazi yale ilikuwa nini mle kama si mzigo tu.Refa katutoa mxhezoni
Ilikuwa kwa ajili ya Super LeagueKambi ya Uturuki bado haijalipa.