Yao yaoooooooooNa mlipenda ipite maana mnaogopa moto atakaoupeleka kwa Utopolo Jumapili lakini bahati haijawa yenu mnyama uso kwa uso na Utopolo Jumapili.
Usitubeze ,hata kombe la dunia ilipigwa matutaTulia wewe, ukweli lazima usemwe. Singida ni timu ya kuwapeleka matuta na majigambo yenu yote haya [emoji706][emoji706][emoji706]
Matuta ndio yaliyowapa Argentina kombe la Dunia mwaka jana shikeni adabu zenu [emoji23][emoji23]Simba mnapata wapi ujasiri wa kushangilia matuta jamani, tena matuta na singida?!!!!
Kwa kweli hata mm sikumuona mpaka alipoenda kupiga penaltymikisoni hakuwepoπ€
Kabisa Swahiba.Nawashukuru singida kwa kutuachia my wetu
utadhani bonge la timu[emoji23][emoji23]Mashabiki wa simba ilikutana nao mtaani wanavyoipamba timu yao utafiri nini sijui
Mzengeli kama namuona vile.Kwa pressing ile ya Yanga jumapili naona mbali sana aisee,yan makolo na vibabu vyenu mjiandae hasa
Wana zile zile za kizamani mpira wa mitandaoni,vile vibabu vyao tunaenda kuvitapisha nyongo jumapiliKabisa Swahiba.
Walitaka kutukimbia kiaina. π
AaaahaaaaaaahaaNawashukuru singida kwa kutuachia my wetu
Unataka aruke kojo akanyage kinyesiPoa poa mkuu. Karibu manjesta
Kaka kiukweli yanga atatulawiti kama team ndio hiii . Makosa mengi tumeyafanya ambayo yanga wangetufunga .Hapo vipi Mkuu?
Simba imesajili wachezaji ambao wako vizuri sana kwenye footworkKweli kaka, mtaani kuna msemo wa "mtu si mbwa"
Leo katufaa bana
π€£π€£π€£