Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fresh, lkn presha jmn roho juu juu.Hapo vipi Mkuu?
🤣🤭🤣🤭🤣hao niwajinga FC mkuu maneno mengi vitendo sifuri.Kwa kweli hata mm sikumuona mpaka alipoenda kupiga penalty
Swala la mshipa wa aibu muulize refa.Hivi hamjaumbwa hata na mshipa wa aibu? Mbeleko yote hii bado mnajisifu
Ipi hyo kaka ....team yetu bado haijajijua kabisaInaonekana hiyo ndio michezo yako
Kama ya kawaida subiri jumapili ikutoboeHakuna ubunifu kwenye eneo la mwisho.Wachezaji wanakabika kirahisi, pia physical fitness si ya kuridhisha. Timu ita-struggle sana kupata matokeo pindi itakapocheza na wakamiaji. Average team
Basi wamekufa kiumeMatuta hata wewe unayaotea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna ng'ombe asiyefaa, ally salim katustiri.. [emoji1787]
Ama kweli mtu si mbwa. [emoji1787]
Ile ilikuwa ni game plan ila siku ingine wasirudieFresh, lkn presha jmn roho juu juu.
Azam haikuwa vizuri kama singida!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?!!?!???????!!!!!!!!!!!!!!!!!;;!!!;!!!!!!!!!Kwani Yanga hawakufanya makosa jana? Si ni vile Azam hawakuwa wazuri kama hawa Singida? By the way we learn through mistakes
Kwahiyo hayo matuta ya singida ndio yatawapa kombe sio, kuweni serious aseeeMatuta ndio yaliyowapa Argentina kombe la Dunia mwaka jana shikeni adabu zenu [emoji23][emoji23]
Hilo nalikubali kwa 80%Kuna uwezekano mkubwa (90%) simba akaishia nusu fainali.
Walau ungesema machache juu ya arguments zangu kuliko kukimbilia mipashoKama ya kawaida subiri jumapili ikutoboe