Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Hivi kuna mchezaji ambae bado hajacheza ukimtoa Kramo?Niogope nini kwa kosi hili ambalo ninalo?
Inonga nae kaumia, miezi 2 nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna mchezaji ambae bado hajacheza ukimtoa Kramo?Niogope nini kwa kosi hili ambalo ninalo?
Ally pia huwa anazikamata, usiangalie mechi moja tu ya WydadHuyu chiba, kwamba kwenye benchi hakuna kipa mdaka penati, ndio kamuacha huyu ally salim🤣
Ndivyo itakavyokuwa😄😄😄Penati hazina mwenyewe, mara paap Singida Fainali
Kwani mbaya? Singida walichagua kupaki busKwa mpira huu tuliouona hapa ?
Ata mimi nakubali.Mpira wa leo ndio umetuonyesha jinsi chama alivyo muhimu.walivyokua wanamringia nilijua wamepata mtu wakuziba pengo lake kumbe hamna kitu.Timu haina kabisa mfumo pale mbele.Simba bila Chama ni Nyau [emoji1787]
Huyu refa mpumbavuu...hyo move ya mwisho mlikuwa mmeendaa...Ngoja tuone dkgo kama ameimarika kudaka penalti
😅😅😅"hawaamini macho Yao" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa afisa habari ajiandae tu, hii safari imeonekana mapema sana.Kwa game hii na ya jana, kama simba wasingehijack dili ya ngoma na angeenda utopoloni, tungeteseka mnooo kwa aina ya mpira wa yanga.
Hilo moja, pili simba haina namba 8, mzamiru hamna kitu kabisaaa, kaisha kweli kweli, anapoteza mipira mingi na hapigi pasi za hatari.
Kocha safari inamuita.
AAhaaa,umeanza kugeukaMm ni YANGA ila simba hakuna timu
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Mm ni YANGA ila simba hakuna timu