Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Inaonekana hiyo ndio michezo yakoKaka kiukweli yanga atatulawiti kama team ndio hiii . Makosa mengi tumeyafanya ambayo yanga wangetufunga .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana hiyo ndio michezo yakoKaka kiukweli yanga atatulawiti kama team ndio hiii . Makosa mengi tumeyafanya ambayo yanga wangetufunga .
Huyo yao yao jumapili kule kulia atakua na moloko babu zimbwe ajiandae hasa 😀Mzengeli kama namuona vile.
Yanga walikuja kwa kujiamini wakijua wangeshinda....Kikawapata cha kuwapata...Hivi huyo kocha kumfunga Yanga ya Nabi na Mayele alibahatisha au?
Sisi ndio tumewapeleka matutaTulia wewe, ukweli lazima usemwe. Singida ni timu ya kuwapeleka matuta na majigambo yenu yote haya 🚮🚮🚮
Afungiwe kwa makosa ya Singida big kukosa penati 😂😂huyu refa asipo fungiwa itakuwa ni ajabu sana
benchi la ufundi walisawazisha ile mechi miezi mi3 kabla[emoji23][emoji23] haikua kawaida...Hivi huyo kocha kumfunga Yanga ya Nabi na Mayele alibahatisha au?
Yanga aliwataka makolo kwenye fa bahati mbaya wakatolewa na azam,yan hiyo jumapili makolo wajiandae hasa,Yanga hii match walikua wanaitakaYanga walikuja kwa kujiamini wakijua wangeshinda....Kikawapata cha kuwapata...
Na ndicho walichokuwa nacho Simba leo...waliona tayari mechi ya leo wameshinda..kiko wapi tumepelekwa hadi kwenye matuta..
Hakuna haja ya ushindi kuwa na mvuto hakuna anayeenda kuolewaHauwezi kupata timu kubwa kabla ya kuanzia timu ndogo.
Kwani Yanga hawakufanya makosa jana? Si ni vile Azam hawakuwa wazuri kama hawa Singida? By the way we learn through mistakesKaka kiukweli yanga atatulawiti kama team ndio hiii . Makosa mengi tumeyafanya ambayo yanga wangetufunga .
Wewe acha hizi maneno, zelensky anaomba msaada wako huko.Hauwezi kupata timu kubwa kabla ya kuanzia timu ndogo.
Mizungu na miarabu ikija inapewa full package nyumba nzuri,gari, posho na mishahala mizuri, na inasikilizwa kwa kila kitu.Ila mswahili mwenzetu, hakuna chochote anachopewa kumfanya afanye kazi kwa ufanisi!!Unawajengea uwezo vipi bila kuaminiwa team kubwa, huo uzoefu wataupata wapi?
Leo jioni napita sehemu, nalisikia dunduka "Singida tunawapiga 5 tunatoa salamu kwa Yanga". Nikajua mpira umeshaanza na wanaongoza kwa magoli 3+ nikaanza kutetemeka.Saanaa
Wanajionaga sijui kama nani umbwa wale
Tunawatoboa tena mawili jumapiliYanga aliwataka makolo kwenye fa bahati mbaya wakatolewa na azam,yan hiyo jumapili makolo wajiandae hasa,Yanga hii match walikua wanaitaka
Acha kelele, tukutane fainali ndo utajua unyama wa mnyama ulivyo.Tulia wewe, ukweli lazima usemwe. Singida ni timu ya kuwapeleka matuta na majigambo yenu yote haya 🚮🚮🚮