FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Huyu kocha wa Azam mbona kama anataka kumrahisishia kazi uto, kikosi gani hiko ?
 
Naona kama Yanga wako Serious sana.

Kombe lenyewe ngao ya hisani tu!!
 
Weka vikosi Wewe
 
Huyu kocha wa yanga hajielewi pacome sio wa kukaa njee kwenye hii gemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…