FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Mi utopo ipo busy knwy uzi za watu za kwao sasa hata huyaoni tunakuwa Simba tuu...
Ihata tufungwe ile rekodi ilopigwa chura na Raja 6 kwa 0 haitatokea...
Unataka tuwapishe kwenye uzi wenu?

Ili tusipate updates?

Kesho mtuongopee kwamba mliupiga mwingi, refa akawaonea?

Tuko hapa mpaka dakika ya mwisho. Mkisimama nchale, mkiinama nchale!
 
Come on' Simba msi hesitate mnapofika eneo la mwisho
 
Back
Top Bottom