Hapa hatujadili ligi ya waliofeli🫣🫣Tutawaonesha Kesho Mazembe Jinsi ya Kutumia vema Uwanja wa Nyumbani!
Hatoki Mtuu
Mazembe lazima Achapwe 3
Lazima watu watetemee bila Kudahau Azizi [emoji360][emoji3]
Unaumwa Wewe Sio bureChuma cha pili dah...🙌
Unatutisha mkuu,au totoe Timu uwanjani?Jamaa anyepasha alikataa Ofa ya Bayern Munich kisa uzalendo ,hii ndio mida yake naona anaingia ni Super sub mzuri sana huyo Benguit tokea akiwa under 17 Chan na kikosi cha Morroco..
Bora umeliona hiloTukubali tu, Raja wako vizuri. Natamani siku moja Simba iwe inacheza kama Raja wakiwa ugenini...pesa inahitajika
Mwambie akunjue moyo kwani siku zote huwa maji hayapandi mlima. 😅😅😅Wifi yako Simba hapa kanuna balaa sijui kama ntapewa Leo🤣
Acha upuuzi kuwatisha wenzioKocha wa Raja kazingua kumbe muda wote Fundi Walid Sabar alikuwa benchi ndio anaingia sasa!
Tutawaonesha Kesho Mazembe Jinsi ya Kutumia vema Uwanja wa Nyumbani!
Hatoki Mtuu
Mazembe lazima Achapwe 3
Lazima watu watetemee bila Kudahau Azizi [emoji360][emoji3]
We endelea tu kusikia.......Nasikia goli lingine limeingia?
Aaaah usitufanyie hivyo mkuu,huyu ni mchezaji bora sanaNingemtoa saidoo,
Dah tuwaombee hata suluhu maana wanatia hurumaMwambie akunjue moyo kwani siku zote huwa maji hayapandi mlima. 😅😅😅