FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023
Tutawaonesha Kesho Mazembe Jinsi ya Kutumia vema Uwanja wa Nyumbani!
Hatoki Mtuu
Mazembe lazima Achapwe 3
Lazima watu watetemee bila Kudahau Azizi [emoji360][emoji3]
Hapa hatujadili ligi ya waliofeli🫣🫣
 
Hawa malofa wanaooteza muda kizembe mno
 
Jamaa anyepasha alikataa Ofa ya Bayern Munich kisa uzalendo ,hii ndio mida yake naona anaingia ni Super sub mzuri sana huyo Benguit tokea akiwa under 17 Chan na kikosi cha Morroco..
Unatutisha mkuu,au totoe Timu uwanjani?

Guvu moya 😀
 
Mmmh💃💃💃💃💃tuongelee ya leo mkuu😂😂😂😂
Tutawaonesha Kesho Mazembe Jinsi ya Kutumia vema Uwanja wa Nyumbani!
Hatoki Mtuu
Mazembe lazima Achapwe 3
Lazima watu watetemee bila Kudahau Azizi [emoji360][emoji3]
 
Back
Top Bottom