mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Dozen inawahusu nyinyi[emoji23][emoji23]Kule kwao tunaenda kula Hamsa [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dozen inawahusu nyinyi[emoji23][emoji23]Kule kwao tunaenda kula Hamsa [emoji16]
Mgunda asingetufikisha popote pale.Niliwaambia mashabiki wenzangu wa Simba sioni sababu ya kuletwa huyu kocha mpya katikati ya msimu wakati Mgunda anafanya vizuri na alishapata combination nzuri ya Boko Chama na Ntibanzonkiza. Walinishukia kama mwewe. Leo hii toka huyu kocha aje Simba imekuwa ikishinda kwa tabu huku ikicheza mpira mbovu na Boko hafungi tena.
Washike mkia mara ya pili? Kwa uchezaji huu simba atafungwa na timu zote kwenye group.Sasa kama nyumbani tu unakubali kufungwa 3 bila! Ukienda kwao si unaenda kupigwa 🤚
Ndiyo hii timu ilikuwa inawakejeli Vipers, ambao wametoa sare na mbabe mwingine Horoya!!
Kwa hali hii sitashangaa wakishika mkia kwenye kundi lao.
Kwani majuaji mawili ya humu leo yako wapi popoma genta na yule babu okwiHalafu wana mechi ya nyumbani dhidi ya Azam!! Aisee huu mwaka ni wa tabu. Cha kushangaza lawama zote atatupiwa Mbrazil wa watu! Sijui ni kwa nini alikubali kuja kufundisha timu kama simba!
Eti nae mjinga limeacha timu lake la vipers amekuja kukimbizana na wahuniHalafu wana mechi ya nyumbani dhidi ya Azam!! Aisee huu mwaka ni wa tabu. Cha kushangaza lawama zote atatupiwa Mbrazil wa watu! Sijui ni kwa nini alikubali kuja kufundisha timu kama simba!
Watakuwa wanaugulia maumivu kama dada yao Kalpana. 😃Kwani majuaji mawili ya humu leo yako wapi popoma genta na yule babu okwi
Swahiba huyu jamaa kama aliota yaani. 🤣 🤣
Sijaona 😂Super cup? Mbona caf wameishafuta simba baada ya kufungwa bao la 3. Taarifa iko kwenye website ya caf
[emoji1787][emoji1787]Dozen inawahusu nyinyi[emoji23][emoji23]
😂😂😂Kule kwao tunaenda kula Hamsa [emoji16]
Dah! nyie watu mna visingizioHii game iliisha tangu Caf walipo tukatalia ombi la kucheza saa kumi..
he unasemaje?Alafu hii team ya raja Casablanca inakuzwa kwa sababu imeshinda 5 previously match ila hawana jipya sana hata namungo aliwakaxia sana na walibabaika.
Nawe mpwa unashabikia Makolo?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimehamia Azam😂Nawe mpwa unashabikia Makolo?