mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kuachwa kuachwa kunauma SanaWatu na roho mbaya zao! Unateseka ukiwa wapi mdauView attachment 2786880View attachment 2786881
Sent using Jamii Forums mobile app
AahaaaaaNawatakia Ushindi Mnono Al Ahly ikiwezekana mtu apigwe kama ngoma.
Muwe na akiba ya manenoKwa michuano hii nasema na nitasema tena Simba lazima afungwe leo kwa Mkapa na All ahly
Nakazia hivyo kwa sababu wachezaji wa Simba hawana self confidence wanapocheza na timu kubwa kama Al Ahly, yaani Simba inategemea mchezaji moja moja tu kama mungu mtu kwenye kikosi chao
Nisiseme mengi sana maana matokeo tutayaona tu
Nipigwe bani iwapo Simba atashinda leo
😅😅 kabisa kabisa ndugu yangu mpira unachezwa Uwanjani.
Uzi upo tayari ,subiri mods wauunge tu.
#Nguvumoja#Chama anacheza msiwe na wasiwasi
Hapana, lazima Mwarabu akufeSare 1 kwa 1
Sio roho mbaya mkuuWatu na roho mbaya zao! Unateseka ukiwa wapi mdauView attachment 2786880View attachment 2786881
Sent using Jamii Forums mobile app