Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Naona kaingia kiungo ndamaKiungo punda nje🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kaingia kiungo ndamaKiungo punda nje🤔
Iko Sawa hakukua na strikerKumtoa miqson sidhanibkama imekaa sawa sana
Naunga mkono hojaAingie huyuView attachment 2787481
Uliona wapi? Maneno yalikuwa mengi humu. Leo wamepotea kimya 🤣🤣🤣🤣Yani tuje hadi na madjaba alafu tufungwe 😂
Endeleeni kubana pyuuumb.u magoli yasiongezeke🤣🤣🤣🤣Hii gemu tunashinda
Tulizeni presha...
Let's us waitNimesema baada ya dk 90 utakuja na ushuhuda mwingine,au lugha ni ngumu [emoji4]
Hakuna beki aliyejisahau, uwezo hawanaTatizo mabeki walijisahau hii n mtoano
Hilo linashangaza sana.Unategemea kumfunga Al ahly ukiwa na babu Saido ukimuacha phiri nje.