FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League
Che Maloni anapata mzigo sana.
Tsbalala akipanda anabaki hii mbaya sana
Kipindi cha pili wa kupanda anatakiwa kuwa Kapombe na Zimbwe Jr tu wakati team inapofanya mashambulizi, hawa wa kati wabaki kulinda counter.
 
Nazani leo mmeona objectives football, Al Ahly pamoja hawa kutawala mpira ila wametengeneza nafasi tatu za hatari wakatumia moja,ila kama wangekuwa makini tayari ingekuwa mshakula tatu.

Sasa kipindi cha pili mkifunguka na kupanic shughuli wanaimaliza hapa hapa,Misri mtaenda kutalii.
Kwelii hili nimeliona Kwakwel
 
Simba kucheza tu hii michuano tayar tushawapiga yanga p*mbu za mat"ko
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Narudia Ni ngumu Sana kuwatoa aly ahly kwa mechi za kutoana ni vigumu mno dawa ya national ally ahly Ni yanga pekee
 
kocha muingize BOKOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Aingie huyu
sddefault-1.jpg
 
Back
Top Bottom