sinyaghile
JF-Expert Member
- Mar 9, 2023
- 270
- 381
Dakika ya ngapi huko wapendwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si moderator? Nilitegemea utakuwa neutral humu 😁Yanga huna uwezo wa kufunga hata Goli moja Kwa al ahaly.....
Tulia wewe acha mbwembeeYanga mtayaogaaa....
This is Simbaaaa
Mtapigwa tano kudadeki, jichanganye [emoji23][emoji23]Hawa Alhly hawana maajabu yoyote Young Africans tutawachapa, wanachapika vizuri tu
dakika ya ngapYani leo matokeo yakibaki hivi nitajisikia rahaa sanaaaaaa
Yakiwa sivyo pia sina la kuwadai wababe wa hii nchi....mnyamaaa simbaaaa
Hamna kituYani leo matokeo yakibaki hivi nitajisikia rahaa sanaaaaaa
Yakiwa sivyo pia sina la kuwadai wababe wa hii nchi....mnyamaaa simbaaaa
Upo jiraniTulia wewe acha mbwembee
Acha wivu basiiHamna kitu
Ksahau idadi ni Ile ile 11😂😂Kocha wa Al ahly kashachanganyikiwa anafnya sub kikosi kizima sasa 🤣🤣🤣
😅 NipoUpo jirani