Historia imeandikwa...
Kibu denis kwa ule mkicwa walai....
Usimkatie mtu tamaaa
Kibu kwa sasa ndo mchezaji wa kuogopwa...
Na atawakandda tena uto trh 26
Usimkatie mtu tamaa...No one can stop Raggae....( In Baraka Mpenja Voice)

Uto hawataki hata kuona kivuli chake...
 
Achana na kusonga mbele, hii ni mechi ya kihistoria ndugu! Labda tunatazama kwa angle zinazotofautiana
Unaangalia historia tu.

Kumfunga Ahly ilikuwa namna bora ya kuendeleza historia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…