Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Achana na kusonga mbele, hii ni mechi ya kihistoria ndugu! Labda tunatazama kwa angle zinazotofautianaAcha masihara mkuu, yaani huo ubaya hapa?
Knockout hii mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na kusonga mbele, hii ni mechi ya kihistoria ndugu! Labda tunatazama kwa angle zinazotofautianaAcha masihara mkuu, yaani huo ubaya hapa?
Knockout hii mkuu
As predicted Kama nilivyotabiri na ndivyo ilivyokuwaHii comments baada ya mechi itaonyesha ukweli wa utabiri....
Utabiri wangu utatokana na hali ya hewa na Stats zingine...
Leo Mechi itakuwa Draw aidha 1:1 au 2:2
Ila Ni draw
Simba 2 vs Al Ahly 2
Au
SIMBA 1 Vs AL AHLY 1
Tunza comment hii
NdomMpira wa kiume huu
Kuna vyura nimewatageti...walikua na mdomo.mnooounacheza na al ahly sio vyura wew[emoji1787]
Usimkatie mtu tamaa...No one can stop Raggae....( In Baraka Mpenja Voice)Historia imeandikwa...
Kibu denis kwa ule mkicwa walai....
Usimkatie mtu tamaaa
Kibu kwa sasa ndo mchezaji wa kuogopwa...
Na atawakandda tena uto trh 26
Unaangalia historia tu.Achana na kusonga mbele, hii ni mechi ya kihistoria ndugu! Labda tunatazama kwa angle zinazotofautiana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] Thanks kipenzi. Nilipumzika baada ya kichapo cha Ngao ya Jamii. Ikaja Ihefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naiscreenshot hii replyYanga wakicheza na hawa watu lazima watombeke sana