Bahati nzuri mtunza risiti nimeinasa, ngoja niiwekee lamination kabisa hii post na nikatunze kwenye file langu la special case ili iwe rahisi baadae kuiibua.Yanga mkipata goli na hawa jamaa hata moja mnidai lakiView attachment 2787515
Hahaa,comment nzr hiiBinafsi hata mimi sikuamini kabisa, Al Ahly kaishazoea kufungwa na Simba kwa Mkapa ila sijui imekuwaje leo imeshindikana. Dah kweli mpira una dunda
MhhhhNatuma salamu kwa wanapaka Oooops 🤭🤭🤭 wanasimba wote. Ujumbe sisi waarabu, tumekuja kuwashika 😜😜😜😜
Walitaka tufungwe hlf waseme tumeaibisha nchi looh.kinachowauma Utopwox ni kwa nini hatujafungwa 7??
makolo pale ndio wamemaliza kila kitu na waganga wao,wanaenda kufungwa cairoNipo Swahiba. Furaha imekuwa ya muda mfupi. 😅
Wana beki nzuri, ila swala la kupata goli ni gumu sana kwao.Yanga mkipata goli na hawa jamaa hata moja mnidai lakiView attachment 2787515
WamejitaidiHabari yako Mkuu? Sasa njoo tusemezane dk 90 zimekwisha [emoji3][emoji3]
Hizo ndio sub ambazo kazingua, ila zile alizofanya baada ya first half zilikuwa ni za kimkakati sana.Kocha mpumbavu. Unamtoa kibu unamuweka onana ambaye hana kasi wala maamuzi ya haraka! Unamtoa Chama unaingiza Bocco. Kocha mpuuzi kweli
Muwage mnatunza akiba ya manenoTaifa lina aibishwa hukooo
Tunza mkuu,miye nishazitunza nyingiiiiBahati nzuri mtunza risiti nimeinasa, ngoja niiwekee lamination kabisa hii post na nikatunze kwenye file langu la special case ili iwe rahisi baadae kuiibua.
Uchawi tuSahau na kipind cha pili watawaachia mtawale gemu kama kawaida alafu watashambulia kwa kushtukiza
FT SIMBA 0- 3 AL AHLY
Mmmmh hebu sema tena [emoji3][emoji3]Ahly wanataka kuimaliza hii game hapa hapa kwa lupaso
Kwani tushacheza mkuuiSimba anatoa sare na bingwa wa afrika wakti Utopolo anafungwa na ihefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Lawama zote kwa mhariri wa maudhui wa jukwaa hili,au alikuwa anataka umma ujue kumbe ile kauli ya Luc Eymael ilikuwa sahihi.Uharo huu