Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Wewe si ulifungwa na waarabu hapo kwa Mkapa.?Ukifika hatua ya kuanza kushangilia safe basi jua unashabikia timu ndogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si ulifungwa na waarabu hapo kwa Mkapa.?Ukifika hatua ya kuanza kushangilia safe basi jua unashabikia timu ndogo sana.
Huenda sisi ndio tumechangia kolo apate sare....Kwa uchambuzi wetuManeno yako yalikuwa meeengi humu na CHOKO mwenzio NALIA NGWENA,naona unabadiki kauli sasa!!!hakika MACHOKO hamuwezi kwisha Nchi hii
Vichwa vya utopoloHapana mkuu uzalendo kwanza
Aibu hii, huyu pimbi chiba aende tu.Aibu zimeanza, Leo taifa linaaibika🤣
Yeah nimeangalia kuanzia maandalizi show zote... alikiba akiba na mpaka Mwisho wageni wakitoka una swali loloteSawa wewe umeangalia
Umekuja na waarabu?Ujumbe sisi waarabu, tumekuja kuwashika
Hawaamini macho yao kutokana na matokeo ya sare ya 2-2! Tena kwenye uwanja wa nyumbani!!Hawaaamini macho yaooooooo
Kwa tunaowajua waarabu nadhani tunaelewa kuwa safari yenu imeisha ( ayubu fc ).. mkienda kule mwafwa[emoji23][emoji23]
Kumbuka ni Yanga ndio ilimkanda mwarabu kwake USM Alger
Nini kifanyike
Simbaakimbie mechi au akubali yaishe au amtafute prof Nabi awape tuition ya kumfunga mwarabu kwake
NB: Tukutane j3 kwenye Derby kubwa East Africa Azam vs wananchi ( kiboko ya waarabu)
Zamani vs sasa.Hata Ihefu inawavingirishaga vyema Uto...
Na kuna siku inashindikana..
Mifi yakoMpikie mumeo... Mambo ya wanaume tuachie.....
Miquison alikuwa hatukabi, kibu kipindi cha kwanza alikuwa anatukaba na hii ni sababu ya position aliyoanzishwa..Miquison hamumuoni Jamani? Au Kibu ana gundu!!!
Wameshakufa kibuduHawaamini macho yao kutokana na matokeo ya sare ya 2-2! Tena kwenye uwanja wa nyumbani!!
Kimahesabu kilicholindwa hapo ni heshima tu ya kutokufungwa. Zaidi ya hapo, mnafahamu fika mkifika Cairo Misri, ni kichapo tu. Ila msiumie sana. Kaka zenu Yanga watakuja kuwafuta machozi.
Ambaye ajawahi kukandwa na azizi k anyooshe kidole juuAmbea hajawahi kukandwa na Kibu anyooshe mkono juu
Shoga asiwe baba yako, niwe mimi!!Acha ushoga,unahangaika sana wee papai