Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hii ni aibu ninayoina hapa aisee, yaan pamoja na ugeni mzito kiasi hiki ila uwanja viti vingi viko wazi kulikoni jamani? Au ndio kwamba hawana matumaini na timu yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiacha ushabiki maandazi na kuangalia kwa uhalisia tukio ni zuri. Viti wazi ni uoande wa AL AHLY Mkuu ila sio kwa watani. Wametuwakilisha vyedi kabisa. Acha majungu mkuu.Hii ni aibu ninayoina hapa aisee, yaan pamoja na ugeni mzito kiasi hiki ila uwanja viti vingi viko wazi kulikoni jamani? Au ndio kwamba hawana matumaini na timu yao
Hii ni aibu ninayoina hapa aisee, yaan pamoja na ugeni mzito kiasi hiki ila uwanja viti vingi viko wazi kulikoni jamani? Au ndio kwamba hawana matumaini na timu yao
Na gel ya alovera 😂kalambishwa ndimu...
Wasanii wa Bongo chenga sana, yaani walioshindwa kutunga wimbo au kujiandaa Kwa onyesho maalumu la mpira Hadi waimbe nyimbo za ajabu ajabu?
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza.
Mechi itakuwa Mubashara Azam Sports 1HD kuanzia saa 12:00 Jioni kwa masaa ya Afrika Mashariki lakini mapema kutakuwa na sherehe za ufunguzi huku Ali Kiba akiongoza burudani.
Yanayojiri yote utayapata katika uzi huu…
Yapi maoni yako kuhusu mechi hii?
Baadhi ya Watu mashuhuri waliohudhuria tukio hili
View attachment 2787299
Rais wa FIFA, Infantino (kulia) ametua Tanzania
View attachment 2787302
Legendari Arsene Wenger na Moise Katumbi kwenye mkutano na Waandishi wa Habari
View attachment 2787383
Hali ya Uwanja mpaka sasa
UFUNGUZI WA TUKIO UMEANZA RASMI
View attachment 2787403
Kikosi cha Simba kinachoanza
Uchawi wako umekufanya uchague kuona aibu, badala ya mazuri yanayofanyika hapo.Hii ni aibu ninayoina hapa aisee, yaan pamoja na ugeni mzito kiasi hiki ila uwanja viti vingi viko wazi kulikoni jamani? Au ndio kwamba hawana matumaini na timu yao
AahaaaaIla Africa suala la kwenda na muda bado ni mtihani.🤣🤣 saa 12:01 sasa
Hivi chama leo anaumwa mbona mnyonge sanaIla Africa suala la kwenda na muda bado ni mtihani.[emoji1787][emoji1787] saa 12:01 sasa
Iko hoooootHii pitch [emoji91]