Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Huyu Chama Matako kabsa sasa alishndwa nin kupiga shoot pale akataka kufunga magoli ya Youtube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu roba kavuruga timuHii timu nzito,na si ya kishindani.
Ni tofauti na Simba ya misimu iliyopita. Wanacheza kifaza
Hapo ndo anapofeli.....hizi mechi ni kufumuaHuyu Chama Matako kabsa sasa alishndwa nin kupiga shoot pale akataka kufunga magoli ya Youtube
Endelea Utachezea BAN LA MWEZI
Kiuhalisia huwezi cheza na Al Ahly per to per. Huo ubora haupo. So unachosema nakiunga mkono.Timu yangu Simba, hakuna haja ya kufunguka.
Tutapigwa nyingi.
Hakuna haja ya kufunguka kwa hii timu.
Nyuma wabaki watu watano.
Wakibaki 3 hatutoboi.
Tutachezea goli nyingi hapa.
Ndugu zangu msifunguke
Mbona timu inacheza vizuriPIGA CHINI ROBERTNO....
Angalia team inavyo defence, Hivi sio game ya fullbacks kupanda sana mbele...
Wanampa kazi ngumu Inonga & Chemalone....
Team haikimbiii...ni kama imechoka...
Makosa ambayo tumeona huu udhaifu tangu ligi ianze...
Mara baada ya mechi ya hisani, huyo ROBERTNO alionekana tu ni SHATI..
AL Ahly, inaishambulia kwa idadi kubwa na kujilinda kwa idadi kubwa...
Kocha mkubwa alipaswa kuona hilo tangu mapema..
Simba asipofungwa 3 cjui.
Hii sio SIMBA tunayoijua kwa .Mkapa....
ROBERTINO huyo ni macho tu, hakuna hata Taste
..
.
kama alivyookoa kwa Ihefu 😁😁😁Mpaka watampigia simu gamondi aokoe jahazi...🤣
Mabeki ni wazuri isipokuwa Zimbwe tu, kinachotokea ni matatizo ya kimfumo wala sio kiwango cha mchezaji mmojammoja kwenye backline.Sio wamewaangusha hakuna beki hapo.
Zinacheza chini ya kiwango sana. Inonga kama anaumwa bora apumzishwe tu
Jikune taco mjinga wewe
Hatujafanya makosa kihivyo kama inavyoweza kusemwa na watu wasiopenda Simba.Bado tuna dk 45 za kurekebisha makosa. Hatujacheza vby
Upo sahihi uwezi cheza na giant team alafu beki zinapanda kwa kiasi kile.PIGA CHINI ROBERTNO....
Angalia team inavyo defence, Hivi sio game ya fullbacks kupanda sana mbele...
Wanampa kazi ngumu Inonga & Chemalone....
Team haikimbiii...ni kama imechoka...
Makosa ambayo tumeona huu udhaifu tangu ligi ianze...
Mara baada ya mechi ya hisani, huyo ROBERTNO alionekana tu ni SHATI..
AL Ahly, inaishambulia kwa idadi kubwa na kujilinda kwa idadi kubwa...
Kocha mkubwa alipaswa kuona hilo tangu mapema..
Simba asipofungwa 3 cjui.
Hii sio SIMBA tunayoijua kwa .Mkapa....
ROBERTINO huyo ni macho tu, hakuna hata Taste
..
.
Simba anacheza tu kupunguza idadi ya magoli, haya mashindano yanamzidi kimo.Timu yangu Simba, hakuna haja ya kufunguka.
Tutapigwa nyingi.
Hakuna haja ya kufunguka kwa hii timu.
Nyuma wabaki watu watano.
Wakibaki 3 hatutoboi.
Tutachezea goli nyingi hapa.
Ndugu zangu msifunguke