FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League

Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.

Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza.

Mechi itakuwa Mubashara Azam Sports 1HD kuanzia saa 12:00 Jioni kwa masaa ya Afrika Mashariki lakini mapema kutakuwa na sherehe za ufunguzi huku Ali Kiba akiongoza burudani.

Yanayojiri yote utayapata katika uzi huu…

Yapi maoni yako kuhusu mechi hii?

Baadhi ya Watu mashuhuri waliohudhuria tukio hili

View attachment 2787299
Rais wa FIFA, Infantino (kulia) ametua Tanzania

View attachment 2787302
Legendari Arsene Wenger na Moise Katumbi kwenye mkutano na Waandishi wa Habari

View attachment 2787419
Arserne Wenger akiwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa

View attachment 2787383
Hali ya Uwanja mpaka sasa

UFUNGUZI WA TUKIO UMEANZA RASMI


View attachment 2787403
Kikosi cha Simba kinachoanza
- Mpira umeanza huku timu zote zikisomana na kushambuliana kwa kushtukiza

- Dakika ya 23 bado ni 0 - 0

- 45' Goooooal Ahly wanatangulia hapa

HT: Simba 0 - 1 Al Ahly

Kipindi Cha pili kimeanza

- Mzamiru out - Kanoute in

- Miquisone out - Baleke in

- Kibuuuu anasawazisha hapa
Kibu D.
 
Yanga wanatani waseme Kibu kabahatisha ila wakikumbuka alivyowakanda wanabaki kusonya
IMG_8513.jpeg
 
Back
Top Bottom