Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Super sabuNi lazima Bocco acheze kila mechi?
Kwenye hili tuko pamoja Beshti...Mimi mwenzenu roho yangu kwatuuuu hata tukifungwa...moto wameuona...
Tutaona game yenu[emoji23][emoji23]Mechi ikiisha hivi watajisifu wamekufa kiume ..
Ndio kawaida za timu ndogo sishangai...
Ndio..Ni lazima Bocco acheze kila mechi?
Al ahaly Knock out stage anacheza Kwa hesabu kaliiAl ahly wameshapata goli zake 2 za ugenini katulia, ila Simba sasa anavyokamia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kukamia, ndio kiwango chenyewe na dunia yote hadi Gaza inashuhudia pira robertinhoAl ahly wameshapata goli zake 2 za ugenini katulia, ila Simba sasa anavyokamia 🤣🤣🤣
Kwasababu Imeshindwa kuifunga Simba goli tano kama mlivyotarajia..?Hi timu yanga itamfunga Hapa hapa dsm na Kisha kutoa nae sare misri ,,," mark my words
Mbele ya kapombe HV unajipenda Kweli umuweke kapombe bench na zimbwe Jr HV unajipendaMwenda ni mchezaji mzuri, sijui kwanini huwa hapewi muda.