FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League
Yanga mkipata goli na hawa jamaa hata moja mnidai laki
IMG_8219.jpeg
 
Kocha mpumbavu. Unamtoa kibu unamuweka onana ambaye hana kasi wala maamuzi ya haraka! Unamtoa Chama unaingiza Bocco. Kocha mpuuzi kweli
 
Siogopi aisee hata tukifungwa now...mimi nachofurahi ni Simba kumfunga mlosema atamuogesha kwa magoli
Usikute huyu mwenzenu anajua Simba imeshinda. Huwa siziamini kabisa akili za Makolo!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kuna wapuuzi wanangilia😅😅😅😅😅
 
Usikute huyu mwenzenu anajua Simba imeshinda. Huwa siziamini kabisa akili za Makolo!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Utajua mwenyewe.....angalia kwanza akili yako....
Nani kashinda sasa? Huyo mwarabu wenu au?
 
Back
Top Bottom