Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo CEO anayesema mafanikio ni WhatsApp wamemweka ili mradi timu ionekane Ina CeoMkuu Babra ni afadhali kuliko Kajuni,jamaa anakuja kwenye mkutano na kusema mafanikio ni ngao ya jamii na WhatsApp channel na anajisifu?
Chama anakua amechangia goal 10 ,assist 5 na goal 5
NB:Simba haivutii kwakweli japo tunaongoza
Mchawi wa sasa wa simba ni Mo mwenyewe badala ya kuweka watu wa mpira yeye akabaki kutoa pesa,amejaza machawa tu.Mkuu Babra ni afadhali kuliko Kajuni,jamaa anakuja kwenye mkutano na kusema mafanikio ni ngao ya jamii na WhatsApp channel na anajisifu?
Ataingia nani? Wachezaji aliokuta ndo hao [emoji16][emoji16]kibu D
Watu wanakimbia mbele anapiga pasi ya nyuma hivi kocha ni kipofu au
Tutolee huu mzigo kocha
Wewe unaweza furahi timu inacheza hivi?'Wanashinda Lkn Hawana Furaha'....by wachambuzi
tuungane tu wachambuzi wetu.!!
Kwa timu ya sas wachezaji wanaostahili kubaki hawazidi 5
Yeahkila match kwenu fainali
Wakatandike vitandaKutesa Kwa Zamu.....Utopolo hamtaki kunyamaza?
Ngoja tuongeze Lingine....muondoke hapa
MaishaaHizi Kolo wakija kucheza tena na yanga kuna dalili za goli tano kujirudia
MuacheKibu rudi kwenu burundi ukachimbe mihogo fala we
Hata hilo mlilopata hamna furaha naloKutesa Kwa Zamu.....Utopolo hamtaki kunyamaza?
Ngoja tuongeze Lingine....muondoke hapa
Mkuu edit hapo tumesha piga mtu kimoko 😊😊😊😊Maishaa
Ni wa 4 tu Inonga,Ngoma,malone(anapiga kazi kubwa ila makosa mengi) ,ngoma kakosa viungo wa maana kumsaidia ,chama maji ya jioni.Ayubu hana footwork mzuri tukikutana na timu inayopress kazi ipo...Shomari na Hussein atleast ila nao hawana winga za maana kuwasadia.Inonga,Shemalon, Ayub,...wengine sijui nani anafaa