dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Moderators wenyewe Ni Hawa wa 2000sJf ya sasahivi sio ile tuliyokuta 2009. Ukichangia Akija mtu kutofautiana na uchangiaji kitu cha kwanza ni matusi na sio kupinga kwa hoja , moderator unafuatilia hii Hali ya matusi au matusi ni halali ??
Mtindo huu unashusha hadhi ya jf .
Hili me niliona siku nyingi wapo mpaka wanaolingana na JF kwa umri humu Wanalingana na Jambo forumNimegundua humu tuna share na watoto wetu wa kambo, haki ya mungu.
Kwa umri nilionao mtoto aliezaliwa 2000 ni mwanangu kabisa.
Kwahiyo tuishi nao tu, huku tukiwafunza adabu ambazo wazee wao wameshindwa kuwapa.
Kiufupi nimemsah kabisa huyo kijana.
Moderator wa mwaka 2005Moderators wenyewe Ni Hawa wa 2000s
Dakika ya 25 ni moja mojaDakika ya ngapi?
Timu yako ilivyopigwa na Kibu mlipata mashaka gani?Magoli ya aina hii yanaleta mashaka makubwa sana!! Timu kama Ihefu ni bora tu ishuke daraja. Maana msimu mzima wenyewe wanajiandaa kucheza na timu moja tu.
Yaani kama ilivyo simba kwa Mashujaa!!Sasa ihefu ikishuka Daraja itakuwaje na ndo mbabe wenu
Hahah me nimefurah nimepata pesa mapema over 1.5Wameharibu clean sheet ye
tup
Kabla ya huyo Kibu kuifunga timu yangu, ilipita miaka mingapi ya kufungwa na kutoa sare? Kuanzia ASFC ya Kigoma, mwaka 2019!! Ushindi wa goli 1-0!!Timu yako ilivyopigwa na Kibu mlipata mashaka gani?