zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Nmesevu hii nitakutafuta hio CAFCC nikuonyeshe kitu Minjingu JinguHatuna na shida na kombe lao la bahasha wakishindwa kuchukua huu ubingwa tutauchukua sisi halafu tunawapelekea pale jangwani au avic town wakae nao sisi tunataka ubingwa wa CAFCCView attachment 3248346
Timu yako haina ubavu WA robo fainali😜Hovyo kabisa sasa huko quarter final si tutapigwa kama ngoma
Yan pale azam ndio hawajakaza,kwa ile defence ya makolo hiyo march 8 naiona mbali sana 😀Mumelowa hatari. 😂😂
Say that again without crying.View attachment 3248348
Mmefuzu sasa kwenda nusu fainali baada ya ushindi wa jana na sare ya mnyama leo
Kweli?Kwa Mkapa hatoki mtu!
Kweli mnatoa jasho bila kusahau mechi ya kwanza na Azam ilitakiwa iwe droo goli zote offside,ila sio mbaya jasho lenu wanakula marefa.Timu imewekewa mazingira ya uhakika point 24 halafu unasema kuna timu?. Simba inatoa jasho kila mechi tunawapongeza . Madhara yake hata kama wanajifanya hawaoni . Kimataifa ni mdebwedo🤓
NYie mnashiriki mashindano gani huko nje?Nmesevu hii nitakutafuta hio CAFCC nikuonyeshe kitu Minjingu Jingu View attachment 3248349
Akaze kama alivyowakazia nyie mkatolewa bikra au akaze vipiYan pale azam ndio hawajakaza,kwa ile defence ya makolo hiyo march 8 naiona mbali sana 😀
Kweli mnatoa jasho bila kusahau mechi ya kwanza na Azam ilitakiwa iwe droo goli zote offside,ila sio mbaya jasho lenu wanakula marefa.
View attachment 3248355
Oyaawe utani gani wa kupigana Shaba huu?View attachment 3248358
DAIMA MBELE MWIKO NYUMA
Kuna mtu nimemkuta hapa anachekea chooniVery disappointed simba
Nipo hapa nashusha beer taratiiibufull bando huku nikipitia platforms mbalimbali kusikiliza vilio🤣🤣Kama nawaona simba leo 😂
Nilisema wote ni mbugila tu. Afadhali nimesevu betri za TV yanguWote mbugila tu; nitaondoa betri kwenye TV yangu