OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Jionee hiyo ajabu na wewePenalty ina utata gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jionee hiyo ajabu na wewePenalty ina utata gani?
Farijianeni Kwa maneno hayo ya msibani,safari hii mtagongwa sanaMakolo bila refa hamna timu, na derby watakaa, yaani no contact refa kafunika penati , rafu kabla ya kupokea mpira refa kapeta Ateba akafunga, beki kacheza mpira refa kafunika faulo sehemu ya hatari, Tabora wakiondoka mshika kibendera Fatma alichoambiwa ni kuinua shuka juu tu, hii ni aibu kubwa, hawa marefa wataishia NBC premier league tu!!
Mlungula wa refa uko laivu Ally Hassan Mwinyi , mbeleko FC ni aibu kwa soka letu!!
Yacouba na Makambo injini za Tabora United msimu huu leo wamewekwa jukwaani, kweli simba bingwa wa mechi za nje ya uwanja! Ila ni mbio za sakafuni tu, Yanga bingwa tu!
Kisa Yanga kuongoza ligi, simba lazima ibebwe kila mechi ila tarehe 8 tutawakanda na kukaa kileleni bila bugudha. Yanga ina intensity hatari mnyama lazima akae kibla achinjwe!
Nitaenda kumuuliza mamakoKawaululize, tumechoka na maswali ya kijinga
Hata mimi niliona vibaya mwanzoni, nimeangalia marudio kwa uchezaji ule zilipaswa kuwa penati mbili pale pale.Anaye pinga Sio Penat huyo Ni Mjinga ty
Tabora ambaye aliwakanda Nye utopwinyo goli 3uwe serious mkuu hatari kakutana na tabora ambayo refa anawalima kadi hovyo hovyo
Nilijua tu huyu refa leo lazima atupatie penalty mandunduka
Wameogopa gemu ya wakubwaKwa nini yakuba na makambo hawapo?
Nguvu MojaUbaya ubwela
Nilijua tu huyu refa leo lazima atupatie penalty mandunduka
Mbeleko FC, simba inaongeza ligi kwa assists za marefa au unabisha kolo? Itakuwa una makengeza kama DJ MugabeFarijianeni Kwa maneno hayo ya msibani,safari hii mtagongwa sana
Sanaa 😂Acheni ushabiki maandazi. Kuna makosa gani ya uamuzi hapo? Au kwakuwa usiyempenda kashinda? Hii tabia ya wabongo kujifanya much know inakera sana.
Poleni ndugu mtabili toka utopoloNilijua tu huyu refa leo lazima atupatie penalty mandunduka
UtoooooKuna haja ya kupeleka waamuzi nje ya nchi wakasukwe tena, currently is why hawaitwi nje
🐸🐸Wameumia sana kufurushwa kileleni 😂😂Jionee hiyo ajabu na wewe