Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😂Congo wapate bao bas, mie nichukue changu kwa Muhindi aaah.
Wanakera sasa, [emoji24][emoji24][emoji24]
Stars ni amvi ya punda tu😂Labda utandike mashuka
Kabisa pole sana myYaan hadi tumbo linauma pesa yangu c bora ningeweka kesho ningejiendea cafe nikalee mapocho pocho, woiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja gideon kaluluCongo wapate bao bas, mie nichukue changu kwa Muhindi aaah.
Wanakera sasa, [emoji24][emoji24][emoji24]
Twendeni Bigbrother kuna pombe na mademu ndiyo tutashinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Twendeni Bigbrother kuna pombe na mademu ndiyo tutashinda.
Pole, hii afcon ni kiboko, imejua kunifilisi kwa haraka haraka ni kama M 2 hivi wamepita nayo.Congo mnataka kuniangusha na nilishawapa pesa yangu?
Wee fanyeni nichukue changu kwa Muhindi, Lol
Washenzi tuuWanaruka ruka
La kmataifa.Unamaanisha La Taifa..?
Yaan wanaudhi sasa aaah, ndo wanafanyaje hapo.[emoji1787][emoji23]
Tokea mechi ya zambia tulibugiHapa hamna timu wanangu.
Nadhani hata hiyo droo ni wao walijitengenezea mazingira ya kujirahisishia kwenye michezo iliyopita.Tupongeze panapofaa kupongezwa, hao kongo wamekuja kusaka point 3, droo ni wamekutana nayo tu.
Mie siangalii matokeo kiujumla, mie natizama mchezo kiujumla, tumeonesha mchezo mzuri, tulivyocheza na morroco sio na zambia, sio na congo, hii game tumeicheza kiume saana