Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Majirani zetu Kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliwapiga 3-1 kwa mkapa,2013,kwao ikabidi Morris apewe red,wakatuweka mbili,tukiwa pungufu tuliwazidi boli na kurudisha moja kwa muwa wa maana wa kiembaInawezekana ila ni 2099 huko
Hao ni mbwaMajirani zetu KenyaView attachment 2874672
Amiin.Kila la kheri Tanzania
Mama anaupiga mwingiwapenzi wa mpira tuwekeeni link ya kuuona huu mpira via internet.
Ina maana wamekosa picha za wachezaji wetu wakati robo, final caf kawaida tu!!
Score808.comwapenzi wa mpira tuwekeeni link ya kuuona huu mpira via internet.
Huu ugonjwa wa kujikataa wanao watanganyika,wanaodai zenji wanatuzidi mpira wakati tumewabomoa Mara kibaoTumeenda kufanya utalii. Hatuna timu ya kuweza kuzifunga Morocco, DRC na Zambia.
Game ya leo jua liwake, mvua inyeshe hatuwezi kupata hata goal la offside.
Muda ni hakimu mzuri.
Tawile Sangoma.Tumeenda kufanya utalii. Hatuna timu ya kuweza kuzifunga Morocco, DRC na Zambia.
Game ya leo jua liwake, mvua inyeshe hatuwezi kupata hata goal la offside.
Muda ni hakimu mzuri.