Huo msitu wa Mabwepande umeuweka hapo makusudi au bahati mbaya tu?Nawatikia ushindi mwema taifa Stars ni mimi Ashura mwenyeji wa romboView attachment 2874676
Tutolee ujinga wako hapa, peleka huko jukwaa la siasa, ulitaka leso afutie nini?Nmemuona Lisu kwenye tv anajifutia majasho bendera yetu. Hii siyo kuinajisi
Hiyo ni swagaHuo msitu wa Mabwepande umeuweka hapo makusudi au bahati mbaya tu?
[emoji23]Tuko htriiiii kbs.Morocco kazi wanayo