Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
Manula kazngua hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za mchongoo...si unaona wao na manula wao lao lilikua moja...Ila waliwakula tano 🤣🤣🤣🤣
Mtafungwa mpoteane huko ivory coastToka lini Zambia mnyonge?
Manulakizmkazi atulie.
Yaani maneno hayatasaidia timu nzima hakuna kitu 🤣🤣🤣Matatizo yote yalianza baada ya kutoka Mudathir
Bila hizo beki tungepigwa 7[emoji32]Yanga na beki zenu mbovu...
Mpira uko miguuni, sio mdomonii.Leo tumeonyesha ukweli!
Hakuna timu jinsi morocco wanavyocheza ni kama hawataki na hawatumii nguvu kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zambia atafungwa?Mtafungwa mpoteane huko ivory coast
AiseeMorocco 3-0 CCM stars
Hamna bwana hatuna quality tuu. Kwanza kwa nadharia ya mpira losing a player doesnt effect a team defensively, it impacts a team offensively since they have one less passing option.Ile ndio imewatoa mchezoni chuma 2 zikaingia
ccm ndiyo wametufikisha hapa. Wao wameona wawekeze kwenye uchawa na kuiba kura ili waendelew kubakia madarakani.Madhara ya kuingiza siasa kwenye kila kitu ndo haya
Warudi na watu wamechanga pesa.Yaani ni team ya ovyo kabisa na dhaifu. Hao jamaa kesho warudi tu